News
CHETI CHA SHUKRANI
NSSF imeshiriki na kudhamini Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari pamoja na Kikao Kazi Cha Maafisa Mawasiliano wa Serikali 2024. Mhe. Nape Moses Mnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, akimkabidhi cheti Cha shukrani Bw. Sebera Fulgence - Afisa Uhusiano Mkuu wa NSSF.

