emblem

The United Republic of Tanzania

National Social Security Fund (NSSF)

We Build Your Future

News

CHETI CHA SHUKRANI





NSSF imeshiriki na kudhamini Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari pamoja na Kikao Kazi Cha Maafisa Mawasiliano wa Serikali 2024. Mhe. Nape Moses Mnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, akimkabidhi cheti Cha shukrani Bw. Sebera Fulgence - Afisa Uhusiano Mkuu wa NSSF.