emblem

The United Republic of Tanzania

National Social Security Fund (NSSF)

We Build Your Future

News

HIFADHI YA JAMII KWA WOTE


Staa wa mchezo ni mwananchi yeyote aliye jiajiri anaweza kujiunga na NSSF kwa ajili ya kujichangia kidogo kidogo kuanzia Tsh 30,000 na kuendelea ili baadaye naye NSSF ije kuwa Staa wa mchezo wake kwa kuwa na uzee uliobora kwa kupata Mafao, Mwanachama akichangia miezi 3 anaanza kupata fao la matibabu bure, lakini anatakiwa awe anachangia kila mwezi TZS 30,000 kwa mtu mmoja au 52200 kwa Mke/Mume na watoto wanne walio chini ya umri wa miaka 18 au 21 kama wanasoma. Namna ya kujiunga kupitia mitandao ya simu; 1.⁠ ⁠Piga *152*00# 2.⁠ ⁠Bonyeza 3 Ajira na Utambuzi 3.⁠ ⁠Bonyeza 6 NSSF 4.⁠ ⁠Bonyeza 1 Jisajili kisha fuata maelekezo Namna ya kuchangia kupitia mitandao ya simu; 1.⁠ ⁠Piga *152*00# 2.⁠ ⁠Bonyeza 3 Ajira na Utambuzi 3.⁠ ⁠Bonyeza 6 NSSF 4.⁠ ⁠Bonyeza 2 malipo 5.⁠ ⁠Bonyeza 2 mwanachama kisha fuata maelekezo