News
NSSF YASHIRIKI HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI, MRADI WA SGR MAKUTOPORA - TABORA

Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma wa NSSF, Lulu Mengele (kushoto) akitoa maelezo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma, Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) (kulia) kuhusu njia mbalimbali zinazotumiwa na NSSF kufikisha elimu ya hifadhi ya jamii kwa wanachama na wadau.
HABARI PICHA: NSSF ILIVYOSHIRIKI UZINDUZI WA MRADI WA SGR - TABORA
HABARI PICHA: NSSF ILIVYOSHIRIKI UZINDUZI WA MRADI WA SGR - TABORA